Mmiliki wa Kituo cha uangaliazi maalum kwa watu walioathirika na matumizi ya madawa ya kulevywa cha Bagamoyo Sober House, Al Karim Bhanji, akitoa taarifa fupi ya kituo hicho kwa Kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa, George Jackson Mbijima (hayupo pichani) wakati Mwenge huo ulipotembelea kituo hicho Mei 19, 2016.
Mmiliki wa Kituo cha uangaliazi maalum kwa watu walioathirika na matumizi ya madawa ya kulevywa cha Bagamoyo Sober House, Al Karim Bhanji (kulia)  akikikabidhi taarifa hiyo kwa Kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa, George Jackson Mbijima, mara baada ya kuisoma.
Mmoja wa Vijana waliokuwa wameathiriwa na Madawa ya Kulevya ambaye sasa amerudi katika hali yake ya kawaida baada ya kupatiwa tiba aliefahamika kwa jina la Abdullatif, akisoma ngonjera aliyoiandaa mwenyewe yenye ujumbe wa kuwataka vijana wengine kuachana kabisa na matumizi ya madawa ya kulevya, kwani yanaathari kubwa kwao.
Abdullatif akimtabithi Kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa, George Jackson Mbijima ngonjera yake hiyo. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...