SIMU.TV:  Zanzibar yatuma salamu za rambirambi nchini Oman kufuatia kifo cha balozi Alli Abdallah Rashid aliyekuwa balozi wa Oman nchini; https://youtu.be/EkPxMtEvaXM 
SIMU.TV:  Serikali ya Zanzibar imeeleza kuwa ina matarajio makubwa na ofisi ya mkurugenzi wa mashtaka DPP kwatokana na kuwa ofisi hiyo inawagusa wananchi moja kwa moja; https://youtu.be/n_DVLTXeiJk
 SIMU.TV:  Serikali yaweka wazi mkakati wake wa kuongeza wawekezaji kutoka sehemu mbalimbali ili kuweza kuwainua kiuchumi wafugaji na wakulima;https://youtu.be/Ij2E9SdPoDo
 SIMU.TV:  Hospitali ya Mnazi mmoja Zanzibar yapokea msaada wa vifaa mbalimbali ikiwemo mashine ya kusaidia kupumua kwa wodi ya wazazi;https://youtu.be/kOBVklfFAFg
 SIMU.TV:  Mamlaka ya mapato Zanzibar ZRB yaanzisha utaratibu wa kodi ya zuio ili kubaini viwango vya mauzo ya wafanyabiashara; https://youtu.be/TIktShGqt4w
 SIMU.TV:  Tatizo la msongamano mkubwa katika wodi ya watoto katika hospitali ya Rorya  mkoani Mara lapatiwa usingizi baada ya kupata msaada; https://youtu.be/Isd_TEsuxTs
 SIMU.TV:  Watanzania waungana na kufanya ibada kwaajili ya kumbukumbu ya wahanga wa ajali ya meli ya Mv Bukoba. https://youtu.be/PsvQE3y5PDw
 SIMU.TV:  Bodi  ya ligi kuu na TFF kufanya marekebisho ya mapungufu katika viwanja vya soka nchini baada ya ligi kuu kumalizika; https://youtu.be/jXWceOuvKlY 
 SIMU.TV:  Jeshi la kujenga taifa JKT mgulani limepokea msaada wa ulingo wa ngumi wenye thamani ya Sh.Mil.22  ili kuendeleza mchezo huo nchini; https://youtu.be/hxOZ4JYlbRg  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...