Meneja wa Bima ya Afya (NHIF) Mkoa wa Lindi, Fortunata Raymond akitoa elimu ya mpango mpya na wa gharama nafuu utakaomuwezesha mzazi kumlipia bima ya Afya mtoto chini ya miaka 18 unaojulikana kama TOTO AFYA KADI, kwenye kliniki ya mama na mtoto (RCH) Hospitali ya Wilaya ya Liwale mkoani Lindi.
Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Liwale, Dkt. Augustine Mnape akitoa rai kwa akina mama walioudhuria kliniki kwa kuchangamkia fursa kwani ni mpango wenye manufaa zaidi na una uwigo wa mafao kwa shil. 50,400 tu.
Akina
mama wakifuatilia elimu ya kitita cha mafao yanayotolewa kwenye mpango
wa Toto afya kadi kutoka kwa meneja wa NHIF Lindi hayupo pichani.




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...