
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akikabidhi msaada wa magodoro kwa Imamu wa Msikiti wa Taqwa Abdul Wakil kwa ajili shule ya sekondari ya Taqwa iliyopo Ilala jiji Dar es Salaam iliyoungua na Moto juzi.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akizungumza na wananachi wa msikiti wa Taqwa alipotembelea kwa ajili ya kuangalia athari za moto katika shule ya sekondari ya Taqwa iliyoungua juzi leo jijini Dar es Salaam.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...