Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara kampasi ya Dar es salaam Prof. Emanuel Mjema (kulia) akiangalia moja ya mashine ya kisasa inayotumika kufundishia wanafunzi wa Fani ya Mizani na Vipimo ndani ya karakana ya chuo hicho leo jijini Dar es salaam wakati wa maadhimisho ya Siku ya Vipimo Duniani yaliyoongozwa na kauli mbiu isemayo Vipimo katika dunia inayobadilika.
Mkufunzi wa Mizani na Vipimo wa Chuo cha Elimu ya Biashara kampasi Dar es salaam Ishigita Shunashu akitoa ufafanuzi kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza wanaosomea fani hiyo leo jijini Dar es salaam wakati wa maadhimisho ya Siku ya Vipimo duniani.
 Baadhi ya wanafunzi wa kike wa mwaka wa kwanza katika Fani ya Mizani na Vipimo katika Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam (CBE). wakiangalia moja mashine ya kujifunzia masomo hayo iliyofungwa ndani ya Karakana ya Idara ya Vipimo na Mizani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...