SIMU.TV: Mbunge wa Maswa mashariki Mhe. Nyongo aihoji serikali juu ya vigezo vilivyotumika kuamua makao makuu ya mkoa Simiyu kuwa Bariadi badala ya Maswa.  https://youtu.be/qyxj9vjDYNk
 SIMU.TV: Baadhi ya abiria wanaotumia mabasi yaendayo haraka wamezishauri mamlaka husika kuweka jenereta ili kutoa huduma za ukataji tiketi pindi umeme utakapokatika;https://youtu.be/Y0BWiOx76j8
 SIMU.TV: Vijana 76 wenye umri kati ya 16 wanaojihusisha na kundi la uporaji Panya Road wametiwa mbaroni na jeshi la polisi.    https://youtu.be/YhPwjT8Jq-4
 SIMU.TV:  Haya hapa majibu ya serikali juu ya namna itakavyoweza kuwasaidia wakulima wa tumbaku mkoani Tabora ikiwa mkoa huo hauna viwanda.https://youtu.be/tJLiun48aNk
 SIMU.TV: Je serikali iko tayari kufuta uamuzi uliotolewa na mkuu wa mkoa wa Manyara wa kuwazuia wakulima ili kuondoa migogoro ya ardhi?   https://youtu.be/oN2CigQ5alY
 SIMU.TV: Mhe. Sixtus  Mapunda ataka serikali kulinda soko la wakulima wadogo wa kahawa kufuatia ongezeko la wakulima wakubwa wa zao hilo. https://youtu.be/3b4aWW2f5iM
 SIMU.TV: Mh.Norman Sigara aitaka serikali kuboresha miundombinu ya barabara ili kuunganisha mkoa wa Njombe na Mbeya. https://youtu.be/bNbx5-SsS8Q
 SIMU.TV: Sikiliza kauli ya serikali juu ya ujenzi wa vituo vya polisi Liwale na nyumba za askari ambao bado wanaishi nje ya kambi za polisi. https://youtu.be/YbTSdTnMvuQ
 SIMU.TV: Fahamu mambo mengi  kutoka kwa mkuruenzi  wa urejeshaji wa mikopo akikujuza  kuhusu changamoto za urejeshaji wa mikopo ya elimu ya juu:https://youtu.be/cyrhLYJbjaI
 SIMU.TV: Jifunze mambo mengi kutoka kwa mwanasheria wa TAMWA akikufahamisha kuhusu masuala ya mimba za utotoni. https://youtu.be/BvMac17KaqI
 SIMU.TV: Fahamu mambo mengi  kutoka kwa mkuruenzi  wa urejeshaji wa mikopo akikujuza  kuhusu changamoto za urejeshaji wa mikopo ya elimu ya juu. https://youtu.be/FFnV--kXuso

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...