Wakuu wa Mikoa na wakuu wa wilaya wakitizama eneo moja wapo la chanzo cha Mto Tarangire.
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu ,Anthony Mtaka (kushoto) akizungumza jambo na Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Saidi Mecky Sadick walipokuwa wakitizama sehemu ya chanzo cha Mto Tarangire.
Kaimu Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Tarangire Susuma Kusekwa akitoa maelezo kwa wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya waliotembelea hifadhi ya taifa ya Tarangire.
Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa wilaya wakiwa katika picha ya pamoja katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire.
Wasaidizi wa wakuu wa Mikoa wakiwa katika picha ya pamoja katika Hifadhi ya taifa ya Tarangire.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...