Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi akitoa hotuba kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam katika kilele cha siku ya kimataifa ya kuongeza uelewa kuhusu ualbino maadhimisho hayo yanafanyika katika viwanja vya mnazi Mmoja jijini Dar es salaam leo.
Omary Mfaume akitoa maelezo kwa wananchi mbalimbali (hawapo pichani) waliohudhuria kilele cha siku ya kimataifa ya uelewa kuhusu Ualbino katika viwanja vya mnazi mmoja,leo jijini Dar es salaam.
Baadhi ya warembo wa miss Albino wakiwa katika maadhimisho ya siku ya kilele ya kimataifa ya uelewa kuhusu Ualbino katika viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar es salaam leo.
Sehemu ya wananchi waliohudhuria katika kilele cha siku ya kimataifa ya kuongeza uelewa kuhusu ualbino,wakifuatilia mambo yanayojiri katika viwanja vya mnazi mmoja leo jijini Dar es salaam.





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...