Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muunguno wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akijibu maswali ya papo kwa papo leo Bungeni Mjini Dodoma.
 Waziri wa  Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Uratibu Bunge Kazi Ajira na Walemavu Mhe. Jenista Mhagama akiteta jambo na Mbunge wa Bariadi Magharibi Mhe. Andrew Chenge leo Bungeni Mjini Dodoma, kulia ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. George Masaju.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...