Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muunguno wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akijibu maswali ya papo kwa papo leo Bungeni Mjini Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Uratibu Bunge Kazi Ajira na Walemavu Mhe. Jenista Mhagama akiteta jambo na Mbunge wa Bariadi Magharibi Mhe. Andrew Chenge leo Bungeni Mjini Dodoma, kulia ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. George Masaju.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...