SIMU.TV: Mhe.Hawa Chakoma aihoji serikali juu ya utekelezaji wa adhma yake ya kutengeneza ajira kwa vijana; https://youtu.be/y1oT9g_VZs4
SIMU.TV: Mhe.Lema aitaka serikali kutengeneza ajira ili kuwaepusha vijana na adhabu pindi watakapokamatwa wakicheza pool table wakati wa mchana; https://youtu.be/EtoP5M6GQp8
SIMU.TV: Mbunge wa viti maalum Mhe.Sofia Simba aitaka serikali kurejesha shule ya Nbembela wilayani Rungwe iliyojengwa kwa nguvu ya wananchi; https://youtu.be/JhOm06ypCLQ
SIMU.TV: Mhe.Augustino Masele aitaka serikali kuweka mazingira rafiki hususan miundombinu katika vivutio vya utalii ili kuendeleza sekta utalii; https://youtu.be/rjKmv8E4RqY
SIMU.TV: Mhe. Medard Kalemani atoa majibu ya serikali juu ya ukamilishaji wa miradi mbalimbali ya REA iliyosuasua wilayani Tunduru. https://youtu.be/dW52_cs6-MA
SIMU.TV: Je ni lini askari wanaomaliza mafunzo kwa ngazi mbalimbali watalipwa kwa wakati maslahi yao ili kuendana na vyeo vyao? Haya hapa majibu ya serikali. https://youtu.be/oRNmrOj3iZA
SIMU.TV: Mhe. Hawa Ghasia aiwakia serikali kuridhia ujenzi wa kiwanda cha mbolea katika maeneo ya Msanga Mkuu Mtwara vijijini; https://youtu.be/CgLU_o4TLhI


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...