SIMU.TV: Mhe.Hawa Chakoma aihoji serikali juu ya utekelezaji wa adhma yake ya kutengeneza ajira kwa vijana; https://youtu.be/y1oT9g_VZs4
 SIMU.TV: Mhe.Lema aitaka serikali kutengeneza ajira ili kuwaepusha vijana na adhabu pindi watakapokamatwa wakicheza pool table wakati wa mchana; https://youtu.be/EtoP5M6GQp8
 SIMU.TV: Mbunge wa viti maalum Mhe.Sofia Simba aitaka serikali kurejesha shule ya Nbembela wilayani Rungwe iliyojengwa kwa nguvu ya wananchi; https://youtu.be/JhOm06ypCLQ
SIMU.TV: Mhe.Augustino Masele aitaka serikali kuweka mazingira rafiki hususan miundombinu katika vivutio vya utalii ili kuendeleza sekta utalii; https://youtu.be/rjKmv8E4RqY
SIMU.TV: Mhe. Medard Kalemani atoa majibu ya serikali juu ya ukamilishaji wa miradi mbalimbali ya REA iliyosuasua wilayani Tunduru. https://youtu.be/dW52_cs6-MA
SIMU.TV: Je ni lini askari wanaomaliza mafunzo kwa ngazi mbalimbali watalipwa  kwa wakati maslahi yao ili kuendana na vyeo vyao? Haya hapa majibu ya serikali. https://youtu.be/oRNmrOj3iZA
SIMU.TV: Mhe. Hawa Ghasia aiwakia serikali kuridhia ujenzi wa kiwanda cha mbolea katika maeneo ya Msanga Mkuu Mtwara vijijini; https://youtu.be/CgLU_o4TLhI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...