Katika Kuonesha Mshikamano Upendo na Umoja Miongoni Mwa Waja wa Mwenyezi Mungu, Wakulima Masikini Waislamu Kwenye Kitongoji Gojra Jimbo la Punjab Huko Nchini Pakistan wamechangia Ujenzi wa Kanisa Kwa Wakristo Waliokua Wanaabudu Nje ya Makazi Yao kama wanavyoonekana Pichani.

‘A church is also a house of Allah;
 praying is what matters. 
We worship the same God’

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 14, 2016

    Ngumu kumeza hii story. Kwa Pakistan si ajabu walijenga hilo kanisa siku waumini wakianza kulitumia wakalilipua!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 15, 2016

    DONT BE NEGATIVE MDAU...HONGERA SANA WALIOJITOLEA. SADAKA NZURI HIYO UKIZINGATIA TUPO KATIKA MFUNGO WA MWEZI MTUKUFU. MADHEHEBU YAPO TU MWISHO WA SIKU MUNGU WETU NI MMOJA. HAKUNA MUNGU WA WAISLAM WALA WAKRISTU.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...