Mkurugenzi Uendeshaji wa Azania Bank, Nurdin Semnangwa akizungumza katika hafl fupi ya kukabidhi hundi ya shs. milioni 6 kwa Mfuko wa Maendeleo wa Kondoa (KDF) jijini Dar es Salaam itakayosaidia ununuaji wa madawati katika Wilaya za Kondoa na Chemba mkoani Dodoma. 
(Picha na Francis Dande)
Mkurugenzi Uendeshaji wa Azania Bank, Nurdin Semnangwa (katikati) akizungumza katika hafla ya kukabidhi hundi ya Shs milioni 6 kwa Mfuko wa Maendeleo wa Kondoa (KDF).
Mkurugenzi Uendeshaji wa Azania Bank, Nurdin Semnangwa (wa pili kulia), akimkabidhi mfano wa hundi ya Shs. Milioni 6 Mwenyekiti wa Mfuko wa Maendeleo wa Kondoa (KDF), Balozi mstaafu Cyprian Majengo.
Kukabidhi mfano wa hundi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...