Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Hamza Johari( katikati )akiongea na Wahariri wa vyombo vya habari mbalilmbali hapa nchini kuhusiana na shughuli mbalimbali zinazofanywa na mamlaka hiyo kuelekea katika mipango yake ya mwaka wa fedha 2016/17.Pamoja na kufahamiana na wahariri hao. Mkutano huo uliofanyika leo makao makuu ya TCAA Banana Ukonga jijini Dar es Salaam.Kulia ni Mkurugenzi wa huduma za mamlaka ya TCAA Mbutolwe Kabeta
Wahariri wa vyombo vya habari mbalilmbali hapa nchini wakimsikilza kwa makini Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya usafiri wa ASnga TCAA Hamza Johari (hayopo pichani) wakati wa mkutano uliohusu shughuli mbalimbali zinazofanywa na mamlaka hiyo kuelekea katika mipango yake ya mwaka wa fedha 2016/17.Pamoja na kufahamiana na wahariri hao. Mkutano huo uliofanyika leo makao makuu ya TCAA Banana Ukonga jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa huduma za mamlaka ya TCAA Mbutorwe Kabeta.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...