STAY TUNED....
Chanzo cha moto huo bado hakijafahamika.
Kijana ambaye jina lake halikupatikana mara moja akiuzima moto unaoteketeza vifaa mbalimbali vya magari jijini Dar es Saalam leo.
Kikosi cha Polisi cha Zimamoto wakizima moto katika eneo la tukio kwenye gereji iliyopo karibu na jengo la Klabu ya Yanga maarufu kama kwa msambaa jijini Dar es Salaam muda huu





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...