Usiku huu wanachama wa Kariakoo Family Development Foundation (KFDF) wamemtembelea mwanachama mwenzao Haji Manara ambaye pia ni Afisa Habari wa Simba DC nyumbani kwake Magomeni Kibamba kumjulia hali na pia kushiriki katika maulid maalum aliyoandaliwa na familia yake kumuombea dua kabla hajasafiri kwend nchini India kesho Jumamosi kwa matibabu ya macho ambayo yamekuwa yanamsumbua kwa muda wa wiki moja sasa. Tunashukuru hali yake inazidi kuimarika japo ni jicho moja tu la kulia linaloweza kuona kiasi wakati la kushoto bado halioni. Tunamtakia apate nafuu katika matibabu yake na arudi kuendeleza raha ya kandanda na KFDF akiwa buheri wa afya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...