Wakandarasi kutoka kampuni ya Hanil Jiangsu Joint Venture Ltd wakiwa katika hatua ya kazi ya cement modification ( CM) eneo la Shangarai
Jiwe la Msingi la Multinational Arusha – Holili/ Taveta – Voi Road Project uliozinduliwa mnamo tarehe 3 Machi 2016.
Eneo la Holili mpakani mwa Tanzania na Kenya itakapo pita ujenzi wa barabara ya Arusha - Holili/ Taveta – Voi yenye kilometa ( Picha na Aisha Malima TANROADS) .
Bango la TANROADS linalo onyesha inapoanza Barabara ya Sakina – Tengeru kilometa 14.1 na Arusha Bypass (Barabara ya mchepuo) yenye kilometa 42.4

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...