
Wakandarasi kutoka kampuni ya Hanil Jiangsu Joint Venture Ltd wakiwa katika hatua ya kazi ya cement modification ( CM) eneo la Shangarai

Jiwe la Msingi la Multinational Arusha – Holili/ Taveta – Voi Road Project uliozinduliwa mnamo tarehe 3 Machi 2016.

Eneo la Holili mpakani mwa Tanzania na Kenya itakapo pita ujenzi wa barabara ya Arusha - Holili/ Taveta – Voi yenye kilometa ( Picha na Aisha Malima TANROADS) .

Bango la TANROADS linalo onyesha inapoanza Barabara ya Sakina – Tengeru kilometa 14.1 na Arusha Bypass (Barabara ya mchepuo) yenye kilometa 42.4


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...