Mkurugenzi wa Utawala wa Utumishi wa Umma, Bw. Nyakimura Muhoji wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma (kulia) akifafanua jambo kuhusiana na masuala mbalimbali ya kiutumishi wakati wa Kipindi cha “Morning Trumpet “ kinachorushwa na AZAM TV. Katikati ni Mkurugenzi wa Undelezaji Sera wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. Mathias Kabunduguru na kushoto ni Mtangazaji wa kipindi hicho Bw. Faraja Sendegeya.
Mkurugenzi wa Undelezaji Sera wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Mathias Kabunduguru akitoa ufafanuzi wa masuala mbalimbali ya kiutumishi wakati wa Kipindi cha “Morning Trumpet “kinachorushwa na AZAM TV. Kulia ni Mkurugenzi wa Utawala wa Utumishi wa Umma, Bw. Nyakimura Muhoji wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na kushoto ni Mtangazaji wa kipindi hicho Bw. Faraja Sendegeya.Mtangazaji wa Kipindi cha “Morning Trumpet” kinachorushwa na AZAM TV, Bw. Faraja Sendegeya (kushoto) akifanya mahojiano na Wakurugenzi kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma , Bw. Mathias Kabunduguru – Mkurugenzi wa Undelezaji Sera (katikati) na Bw. Nyakimura Muhoji - Mkurugenzi wa Utawala wa Utumishi wa Umma. Kipindi hicho kililenga kutoa elimu kwa umma juu ya masuala mbalimbali ya kiutumishi na kilirushwa mapema leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...