Waziri Mkuu, Kassim Majliwa na Mkewe Mary wakimtazama Lorand Leonard Kambangu akiendesha baiskeli ya magurudumu matatu aliyopewa na Mke wa Waziri Mkuu katika mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Waziri Mkuu kwenye kijiji cha Nanganga wilayani Luangwa Julai 14, 2016. Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Home
Unlabelled
MAMA MAJALIWA ATOA MSAADA WA BAISKELI KWA MLEMAVU MKOANI LINDI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...