Madawati  yaliyotengenezwa kwa  pesa  za  mfuko  wa   jimbo la  Kilolo ambayo mbunge  wake Mhe. Venance Mwamoto ameyakataa kutokana na  kukosa  ubora  ukilinganisha na thamani ya  pesa iliyotumika  
Mbunge  Mwamoto  katikati  akikimbia  kwenda  kukagua  madawati  katika   kijiji  cha Nyanzwa  leo
Mbunge wa  Kilolo Mhe. Venance  Mwamoto akikagua madawati  yaliyotengenezwa kwa  pesa za mfuko wa  jimbo.
Mhe. Venance  Mwamoto  akikagua na kuyakataa katakata   madawati yaliyotengenezwa chini ya  kiwango
 Picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...