Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei (wa pili kushoto) akiangalia moja kati ya mashine za Visima huku akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa mkuu wa Idara ya Masoko wa Kampuni ya Property International Ltd, Masoud Khalfan (wa pili kulia), wakati alipotembelea Banda la kampuni hiyo kwenye Maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa kwenye Viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam (Sabasaba) Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni hiyo, Abdulhaleem Zahran na (kulia) ni Afisa Habari wa Kampuni hiyo Saleh Omar. Picha na Mafoto Blog
Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni hiyo, Abdulhaleem Zahran (kushoto) akimfafanulia jambo Dkt Kimei ndani ya Banda la Property Internatioanal. Kulia ni Afisa Habari wa Kampuni hiyo Saleh Omary.
Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni hiyo, Abdulhaleem Zahran (kushoto) akimfafanulia jambo Dkt Kimei ndani ya Banda la Property Internatioanal. Kulia ni Afisa Habari wa Kampuni hiyo Saleh Omary.
Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni hiyo, Abdulhaleem Zahran (kushoto) akimunesha Dkt. Kimei, baadhi ya michori ya kazi zilizofanywa na kampuni hiyo. Kulia ni Afisa Habari wa Kampuni hiyo Saleh Omary.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...