Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akiwatangaza Makatibu Tawala wa Wilaya wateule katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Raisi - Utumishi - jijini Dar es salaam leo jioni. Kulia ni Katibu mkuu wa Utumishi Dkt. Laurian Ndumbalo.
Home
Unlabelled
NEWS ALERT: Serikali yafanya uteuzi wa Makatibu Tawala wa Wilaya leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Du! Wanawake wawili tu?
ReplyDeleteUlitaka wawe wangapi kwa mfano?
Delete