Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 08, 2016

    Safi sana hii ndio Tanzania yetu amani na furaha

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 08, 2016

    The mdudu, Asante sana ndugu Omary huo ndio uzalendo wasio mpenda rais wetu mpendwa John Pombe Magufuli washindwe na walegee kama mrenda

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 08, 2016

    absolutely. God Bless Tanzania

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 08, 2016

    Huyu kijana hata mimi naomuona ni wa kujivunia. He did the right thing. God Bless him

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 09, 2016

    hahahahahaha sound like joke but heart touching!! Mheshimiwa naondoka jamani

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 09, 2016

    Safi sana kaka ,harafu sala yake fupi lakini imehusisha watu wote,watu kama hawa ndio wanatakiwa kuwa kwenye kamati za kudumisha umoja/Amani maana unaona hata energy aliyonayo unapenda kumsikiliza. watu wengine wanavipaji lakini huwa hawavioni mpaka watu wakuambie.kaka Omary unakipaji cha kuongea vizuri, kuweka watu pamoja, na energy ya kufanya watu wafurahie kukusikiliza .

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 09, 2016

    Safiii saanaaaa!!! Magufuli Oyeeeee!!

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 09, 2016

    Huyu kaka anakipaji cha kuweka mawazo yake pamoja kwa muda mfupi aliopewa. Nimempenda alivyoonyesha furaha na ucheshi huku akifikisha ujumbe.
    Mungu ibarikia Tanzania na watu wake.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...