Marehemu Mr. Amani Mshana (1982 – 2016)
Mkurugenzi wa Halimashauri ya Wilaya ya Misungwi Bwana Nathan Mshana anasikitika kutangaza kifo cha mototo wake AMANI MSHANA, kilichotokea jumapili tarehe 03/7/2016 katika Hospitali ya Rufaa Bugando, Mwanza.
Habari ziwafikie wafanyakazi wote wa Halimashauri ya Wilaya ya Kongwa, ndugu, jamaa na marafiki wote popote pale walipo.
Mazishi yatafanyika jumatano tarehe 6/7/2016 huko Vudee Msanga, Wilaya ya Same, Mkoa wa Kilimanjaro.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...