Marehemu Mr. Amani Mshana  (1982 – 2016)
Mkurugenzi wa Halimashauri ya Wilaya ya Misungwi Bwana Nathan Mshana anasikitika kutangaza kifo cha mototo wake AMANI MSHANA, kilichotokea jumapili tarehe 03/7/2016 katika Hospitali ya Rufaa Bugando, Mwanza.

Habari ziwafikie wafanyakazi wote wa Halimashauri ya Wilaya ya Kongwa, ndugu, jamaa na marafiki wote popote pale walipo.

Mazishi yatafanyika jumatano tarehe 6/7/2016 huko Vudee Msanga, Wilaya ya Same, Mkoa wa Kilimanjaro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...