Baadhia wakina Mama Wajasiliamali wafanyao Biashara zao kandokando ya Barabara ya kuelekea Bandari ya Kasanga kutokea Sumbawanga Mjini wakiwa katika Eneo lao la Biashara kama ambavyo waonekanavyo hapo juu katika Taswira.
Wakina Baba nao wakiwa Sambamba na Vipandwa vyao katika Pilika Pilika zao za kila Siku kando kando ya Barabara ya kutokea Sumbawanga Mjini kuelekea Bandari ya Kasanga Wilayani Karambo Mkoani Rukwa.
Mwanaume wa Shoka akijikongoja kandokando ya Barabara hiyoo.
Gari hii Pichani ikiwa katika matengenezo mara baada ya kupata Hitirafu katikati ya Barabara hiyo..
PICHA ZOTE NA MR.PENGO MMG.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...