Meneja Masoko na Udhamini wa TBL Group,George kavishe akiongea na baadhi ya mawakala wakati wa uzindinduzi wa kampeni ya NUNUA, UZA, SHINDA NA KONYAGI kwa wasambazaji wa bidhaa zake .Hafla ya uzinduzi ilifanyika katika ukumbi wa Protea jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa mawakala wa kampuni ya Kampuni ya Tanzania Distilleriers Limited (TDL), Bi.Grace Ulomi akihojiwa na waandishi wa habari wakati wa hafla ya uzinduzi
Meneja Masoko na udhamini wa TBL Group, George Kavishe akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzindinduzi wa kampeni ya NUNUA, UZA, SHINDA NA KONYAGI kwa wasambazaji wa bidhaa zake .Wengine pichani ni Maofisa wa kampuni hiyo.





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...