Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bw.Erasimus Rugarabamu wakati akifungua kikao kazi cha wakuu wa vyuo vya Maendeleo ya Jamii kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bi.Sihaba Nkinga mjini Dodoma.
Baadhi ya Wakuu wa vyuo vya Maendeleo ya Jamii wakifuatilia mada zilizokuwa zikiwasilishwa wakati wa Kikao kazi chao mjini Dodoma leo.
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bw.Erasimus Rugarabamu (katikati) akiwa na Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Jamii wa Wizara hiyo Bw. Enterberth Nyoni (wa pili kushoto) na Mwenyekiti wa Wakuu wa Vyuo vya Maendeleo ya Jamii vilivyo chini ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii Jinsia, Wazee na Watoto Bw. Paschal Joseph Mahinyila wakifuatilia michango mbalimbali ya wakuu wa vyuo vya Maendeleo ya Jamii wakati wa kikao kazi cha wakuu hao leo mjini Dodoma.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...