Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Balozi Mdogo wa Oman katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayefanyia kazi zake Zanzibar Mhe,Ahmed Bin Humoud Al Habsi, alipofika Ikulu Mjini Unguja leo kujitambulisha.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akibadilishana mawazo na Balozi Mdogo wa Oman katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayefanyia kazi zake Zanzibar Mhe,Ahmed Bin Humoud Al Habsi, baada ya mazungumzo yao alipofika Ikulu Mjini Unguja leo kujitambulisha.Picha na Ikulu, Zanzibar.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...