Mshindi bora katika kipengele cha kujibu maswali kwa umahiri, Adamson Nsimba kutoka shule ya sekondari St. Joseph mara baada ya kutangazwa mshindi. Adamson  amezawadiwa Laptop.
 Washindi wa kwanza wa masuala ya kodi katika mashindano ya vilabu vya  kodi kutoka shule ya  Sekondari Loyola wakifurahia ushindi mara baada ya kutangazwa kuwa washindi.
Washindi wa kipengele cha uwasilishaji wa mada kutoka shule ya sekondari ya Shaaban Robert katika picha ya pamoja na Mwalimu wao kutoka TRA Bw. Patrick Massawe (mwenye tisheti ya njano) mara baada ya kutangazwa washindi katika mashindano yaliyofanyika Desemba 2,  2016 jijini Dar es Salaam. Kwa habari kamili BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...