Pichani ni akina mama wa kinyakyusa wakiserebuka kwa wimbo wao wa kinyakyusa kwenye moja ya hafla yao huko jijini mbeya.
Mama wa Kinyakwusa akiwa amezama ndani ya hisia zake kucheza wimbo wao wa kinyakyusaa kwa staili ya aina yake huko jijini mbeya.
Wimbo huo ukiendelea kuteka hisia za Akina mama hao katika moja ya kumbi za sherehe Jijini Mbeya.
Rahaa kweli kweli.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...