Ofisa Mtendaji Mkuu wa Zantel Tanzania, Benoit Janin (katikati), akizungumza na  baadhi ya wateja na mawakala wa kampuni hiyo mjini Zanzibar nje ya Soko la Malindi jana, ili kupata mawazo yao juu ya ubora wa huduma na bidhaa za Zantel wazipatazo na jinsi ya kuzoboresha.
 Ofisa Mtendaji Mkuu wa Zantel Tanzania, Benoit Janin (katikati), pamoja na baadhi ya maofisa wa kampuni hiyo wakimsikiliza mmoja wa mawakala wao, Juma Abdallah Safi (kulia), nje ya Soko la Malindi, Zanzibar  jana, walipokwenda kuwatembvelea mawakala na wateja wa kampuni hiyo ili kupata mawazo yao juu ya ubora wa huduma na bidhaa za Zantel wazipatazo na jinsi ya kuzoboresha.     
  Mkuu wa Zantel, Mohamed Khamis Baucha (kulia), akizungumza na baadhi ya wateja wao nje ya soko la Malindi, Zanzibar jana  walipokwenda kuwatembvelea mawakala na wateja wa kampuni hiyo ili kupata mawazo yao juu ya ubora wa huduma na bidhaa za Zantel wazipatazo na jinsi ya kuzoboresha.     
 Meneja Biashara Wateja wa Makampuni wa Zantel Kassongo Faraji (kulia), Ofisa Mauzo na Usambazaji, Mabuga Abdallah (wa pili kulia), wakimsikiliza mmoja wa mawakala wa Zantel mjini Zanzibar jana walipokwenda kuwatembvelea mawakala na wateja wa kampuni hiyo ili kupata mawazo yao juu ya ubora wa huduma na bidhaa za Zantel wazipatazo na jinsi ya kuzoboresha. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...