SERIKALI kupitia Wizarya afya , maendele ya jamii , Jinsia Wazee na Watoto imetenga bilioni 251 ili kuimarisha upatikanaji wa dawa katika vituo vya afya na zahanati zote nchini.
Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu Wizara Ya Afya, Maendeleo Ya Jamii, Jinsia, Wazee Na Watoto Dokta Mpoki wakati wa mahojiano katika kipindi cha Tunatekeleza kinachoendeshwa na kituo cha matangazo TBC1 jijini Dar es salaam.
“Kutokana na taarifa zinazozagaa juu ya upungufu wa dawa katika zahanati hapa nchini ,taarifa hizo si za kweli napenda kuwatoa hofu wananchi na bajeti yetu ya mwaka huu ni shilingi Bil. 251 kwa ajili ya dawa tu” alisema Dkt. Ulisubisya. Kusoma zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...