Kamishna wa Maadili katika Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Jaji Mstaafu, Mhe. Harold Reginald Nsekela akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) (hayupo pichani) alipomtembelea ofisini kwake leo.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akizungumza na Kamishna wa Maadili katika Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Jaji Mstaafu Mhe. Harold Reginald Nsekela (wa pili kulia) alipomtembelea Waziri huyo ofisini kwake leo.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akimsikiliza Kamishna wa Maadili katika Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Jaji Mstaafu Mhe. Harold Reginald Nsekela (hayupo pichani) alipotembelewa na Kamishna huyo ofisini kwake leo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...