Watu wanne akiwemo mama na mtoto wanashukiwa kufukiwa na kifusi kufuatia kubomoka kwa ukuta wa upande wa jengo la ghorofa 3 huko Mji Mkongwe, Zanzibar. juhudi za kuokoa waliofukiwa na kifusi hicho yaendelea.Chanzo cha kuporomoka kwa ukuta huo bado hakijafahamika.
Juhudi za kuokoa watu waliofunikwa na kifusi baada ya kuanguka kwa ukuta wa jengo hilo zikiendelea, Mji Mkongwe Zanzibar mchana huu.
Muonekano wa Jengo hilo baada ya kuporomoka.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...