Mkuu wa wilaya ya Mbulu, Chelestino Mofuga akizungumza na wananchi wa kijiji cha Gidmadoy baada ya kusikiliza mgogoro wa mapato na matumizi uliodumu tangu 2014 hadi 2016. Mkuu wa wilaya aliagiza kukamatwa mtendaji wa kijiji ambaye alihamishwa kinyume cha utaratibu kukimbia madeni na kumweka ndani masaa 48.
Pia mkurugenzi aliagizwa kukagua taarifa ndani ya siku saba na kuleta taarifa kwa wananchi. Pia mkurugenzi aliagizwa kutuma watalaam wa ardhi kukagua maeneo yaliyopimwa na kulalamikiwa na wananchi. Wananchi walikiri hawajawahi kutembelewa na Mkuu wa wilaya au kiongozi wa wilaya tangu kuanzishwa kwa kijiji hicho kwake
Pia mkurugenzi aliagizwa kukagua taarifa ndani ya siku saba na kuleta taarifa kwa wananchi. Pia mkurugenzi aliagizwa kutuma watalaam wa ardhi kukagua maeneo yaliyopimwa na kulalamikiwa na wananchi. Wananchi walikiri hawajawahi kutembelewa na Mkuu wa wilaya au kiongozi wa wilaya tangu kuanzishwa kwa kijiji hicho kwake
Baadhi ya wananchi wakimsikiliza mkuu wa wilaya Mbulu
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...