Mkuu wa Chuo cha Uongozi wa Mahakama-IJA-Lushoto, Mhe. Jaji Dkt. Paul Kihwelo akifungua rasmi Mafunzo ya Utunzaji wa Kumbukumbu kwa njia za kisasa “Training on Modern Record Keeping and Document Management” yanayoshirikisha Wasaidizi wa Kumbukumbu na Maafisa TEHAMA wa Mahakama ya Tanzania. Kulia ni Mkurugenzi wa Utawala, Bw. Edward Nkembo.
 Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu- Mahakama ya Tanzania, Bw. Edward akieleza jambo kwa washiriki wa Mafunzo.
 Baadhi ya washiriki wa Mafunzo
 Mkuu wa Chuo cha Uongozi wa Mahakama, Mhe. Jaji. Dkt. Paul Kihwelo, (wa pili kulia), Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu-Mahakama ya Tanzania, Bw. Edward Nkembo (wa pili kushoto), Mkurugenzi-Msaidizi-Mafunzo, Mahakama ya Tanzania, Bi. Patricia Ngungulu, wa kwanza kushoto na Mratibu wa Mafunzo ya Mahakama toka  Chuo cha Uongozi wa Mahakama-IJA, Bw. Lameck Samson (wa kwanza kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa TEHAMA na Wasaidizi wa Kumbukumbu wanaoshiriki katika mafunzo hayo.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...