Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama ngombe wa kisasa wakati alipotembelea shamba la ng'ombe wa maziwa la MILKCOM TANZANIA LIMITED lililopo Kigamboni jijini Dar es salaam akiwa katika ziara ya wilaya ya Kigamboni leo Januari 4, 2017.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akieleza jambo wakati alipotembelea shamba la ng'ombe wa maziwa la MILKCOM TANZANIA LIMITED lililopo Kigamboni jijini Dar es salaam akiwa katika ziara ya wilaya ya Kigamboni leo Januari 4, 2017.
Wananchi wa eneo la Kisarawe Two wilayani Kigamboni wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao baada ya kukagua wodi ya wazazi iliyojengwa na kampuni ya mafuta ya OILCOM kijijini hapo. Waziri Mkuu alikuwa katika ziara ya wilaya hiyo Januari 4, 2017.
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akitazama kitanda wakati alipotembelea wodi ya wazazi iliyojengwa na kampuni ya mafuta ya OILCOM katika ENEO la Kisarawe Two wilayani Kigamboni, Januari 4, 2017. Kushoto kwake ni Mkuu wa wilaya ya Kigamboni, Mhe. Hashim Mgandilwa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Kwa taarifa kamili BOFYA HAPA
Kwa taarifa kamili BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...