Sheria  Na  4  sura  ya  113 Sheria  ya Ardhi  ndiyo  sheria  inayotawala  habari  nzima ya  upangaji  na  upangishaji. Mpangaji  ni  mpangaji  anajulikana  lakini  swali  ni  kama  baada  ya  kupangishwa  na  yeye  anaweza  kupangisha. Hata  hivyo  kabla  ya  hilo  tutizame  vipengele  muhimu  vinavyotakiwa  kuwa  katika mkataba  wa  upangaji.

Ni  muhimu  kuangalia  vipengele  hivi  kwasababu  suala  la uwezo  wa mpangaji  naye  kupangisha  ni  moja  kati  ya  migogoro   kati  ya  wenye  nyumba  na  wapangaji  ambayo  husababishwa  na  mikataba   isiyoshiba  kwa vipengele  muhimu. Kusoma zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...