Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye Mkutano wa Nane wa mwaka wa Chama cha Majaji Wanawake Tanzania (TAWJA) kwa ajili ya kuufunga leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Mohamed Chande Othman na kulia ni Mwenyekiti wa TAWJA ambaye pia ni Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu kanda ya Tanga Mhe. Iman Abood.  
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (kulia) akimsikiliza Mwenyekiti wa TAWJA Mhe. Jaji Iman Abood (hayupo pichani) akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Nane wa mwaka wa Chama cha Majaji Wanawake Tanzania (TAWJA). Katikati ni Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Mohamed Chande Othman na kushoto ni Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifungua  Mkutano wa Nane wa mwaka wa Chama cha Majaji Wanawake Tanzania (TAWJA leo jijini Dar es salaam.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Mwenyekiti wa TAWJA Mhe. Jaji Iman Abood wakati wa Mkutano wa Nane wa mwaka wa Chama cha Majaji Wanawake Tanzania (TAWJA leo jijini Dar es salaam

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea risala toka kwa Mwenyekiti wa TAWJA Mhe. Jaji Iman Abood wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Nane wa mwaka wa Chama cha Majaji Wanawake Tanzania (TAWJA)  leo jijini Dar es salaam
Sehemu ya wageni na wajumbe wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Nane wa mwaka wa Chama cha Majaji Wanawake Tanzania (TAWJA)  leo jijini Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...