Mkuu
wa wilaya ya Tanga,Thobias Mwilapwa akizungumza wakati wa mkutano wa
wananchi wa Kijiji cha Marungu ambao ni sehemu ya waathirka na
mgogoro huo sambamba na muwekezaji wa shamba hilo na kusema kuwa
makubaliano
yaliyofikiwa baina ya serikali na wafugaji hao lazima yatekelezwe kwa
wakati
ili kuepusha vurugu za uvunjifu wa amani uliokuwa ukijitokeza mara kwa
mara.
Katibu Tawala wa wilaya ya Tanga(DAS),Faidha Salim akizungumza katika mkutano huo
Diwani wa Kata ya Marungu (CCM) Mohamed Mambea akizungumza wakati wa mkutano huo
BOFYA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI
BOFYA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...