Usiku wa kuamkia mwaka mpya wa 2017 wadau Wasia na Laila waliandaa mnuso wa nguvu wa Harusi yao kwenye Ukumbi wa Taj Hall ulioko Savoy Drive jijini Houston, Texas, Marekani. Pata taswira za tukio hilo hapa chini.
Wadau Wasia na Laila wakimeremeta kwenye mnuso walioandaa
Newly Wed Mr. Wasia akiwa na Mkewe Bi. Laila na kijana wao Zion. Kwa taswira zaidi BOFYA HAPA |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...