Na Zainab Nyamka, 
Globu ya Jamii
Hii itakuwa mechi ya tatu kwa Yanga na Azam kukutana kwenye Kombe la Mapinduzi ikiwa ni mechi ya kwanza kwa benchi la Yanga linalokuwa chini ya George Lwandamina na Azam ikiwa chini ya Abubakari Cheche.

Jumla timu hizi zimekutana mara 27 kwenye mashindano yote. Yanga imeshinda mara 10, Azam imeshinda mara 9 na zimetoka sare mara 8. Yanga wamefunga mabao 37 na Azam wamefunga mabao 34.
Kupata rekodi mbalimbali za timu hizi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...