Zaidi ya wakazi elfu tano wa vijiji viwili vya MAGINGO na MKONGOTEMA , vilivyopo kata ya MKONGOTEMA, Halmashauri ya Madaba Wilaya ya SONGEA Mkoani RUVUMA, Wameishukuru serikali kwa kuwaletea mradi wa maji na kuondokana na hadha waliyokuwa wakiipata ya kutafuta maji umbali wa kilomita moja hadi mbili , Shukrani hizo wamezitoa baada ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, KASSIM MAJALIWA kuzindua Mradi wa maji ulipo katika kijiji cha MAGINGO uliogharimu kiasi cha shilingi Bilioni Moja. Tizama video yake. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...