Makamo wa rais wa Tanzania amesema Tanzania itaendeelea kudumisha na kuimarisha mahusiano mazuri na jamuhuri ya watu wa china: https://youtu.be/iUDEmN4fxA4

Waziri mkuu amesema serikali imetoa shilingi bilioni 1.4 kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Njombe: https://youtu.be/ZMNf9HgyKBE

Uhaba wa chakula unaowakumba baadhi ya wananchi hapa nchini   umechukua sura mpya baada ya wakazi wa mkoa wa Rukwa kudai kuwa hawana njaa ya chakula: https://youtu.be/finpdqBqHng

Watanzania wapewa changamoto ya kuchangamkia  fursa ya masomo   zinazopatikana nchini Uturuki  ili waweze kupata taaluma bora: https://youtu.be/kh1Q1bk_5Jg

Spika wa bunge Mh.Jobu Ndugai amepokea barua ya kujiuzulu ubunge kutoka kwa Abdallah Posi  baada ya kuteuliwa kuwa balozi: https://youtu.be/FXLXvjmR_Xs

Klabu la gofu ya jeshi la ulinzi wa  wananchi wa Tanzania wapo kwenye maandalizi ya maadhimisho ya miaka 10 ya klabu ya Lugalo: https://youtu.be/U4_RmCEtPp8

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...