(1)Mchezaji bora wa mwaka wa Afrika Riyad MAHREZ (Algeria & Leicester City). nafasi ya pili ni Pierre-Emerick AUBAMEYANG (Gabon & Borussia Dortmund),na Sadio MANE (Senegal & Liverpool) anashika nafasi ya tatu.
(2)Mchezaji bora wa mwaka wa Afrika kwa wachezaji wanaocheza barani Afrika ni Denis ONYANGO (Uganda & Mamelodi Sundowns).
(4)Mchezaji bora kijana anayechipukia.
Kelechi IHEANACHO (Nigeria & Manchester City)
(5)Mchezaji bora kijana Alex IWOBI (Nigeria na Arsenal)
(6)Kocha bora wa mwaka Pitso MOSIMANE (Mamelodi Sundowns)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...