Katibu wa chama cha Walimu mkoa wa Ruvuma Shaibu Omary.

Chama cha walimu mkoa wa Ruvuma kimepanga malengo mbalimbali ya mwaka huu wa 2017 ikiweo kutatua matatizo ambayo yanawakuta walimu pamoja na kuwawezesha kupata mikopo bila masharti yeyote.

Hayo yamesemwa na katibu mkuu wa chama hicho SHAIBU OMARY wakati akizungumza na Ruvuma tv ofisini kwake.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...