Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Dk. Mhandisi Juliana Pallangyo (mbele) akiongoza kikao kilichoshirikia ujumbe kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) na watendaji kutoka Wizara ya Nishati na Madini kilichofanyika jijini Dar es Salaam.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Dk. Mhandisi Juliana Pallangyo akielezea sekta ya nishati katika kikao hicho.
Sehemu ya Watendaji kutoka Wizara ya Nishati na Madini wakifuatilia maelekezo yaliyokuwa yanatolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Dk. Mhandisi Juliana Pallangyo (hayupo pichani).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...