Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Dk. Mhandisi Juliana Pallangyo (mbele) akiongoza kikao kilichoshirikia ujumbe kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) na watendaji kutoka Wizara ya Nishati na Madini kilichofanyika jijini Dar es Salaam.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Dk. Mhandisi Juliana Pallangyo akielezea sekta ya nishati katika kikao hicho.
Sehemu ya Watendaji kutoka Wizara ya Nishati na Madini wakifuatilia maelekezo yaliyokuwa yanatolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Dk. Mhandisi Juliana Pallangyo (hayupo pichani).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...