Mafundi kutoka Shirika la Majisafi na Majitaka jijini Dar es salaam (Dawasco) wakiondoa laini ya Majisafi iliyounganishwa bila kufata utaratibu na vishoka katika eneo la Boko Magengeni, ikiwa ni mwendelezo wa kampeni ya kupambana na wizi wa Maji katika jiji la Dar es salaam na Mkoa wa Pwani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...