Leo tumetembelewa na The Big Family UK ambao wamekuja kutufariji kutupa pole msiba wa baba.
Pamoja na kutufariji , pia tulikabidhiwa keki ya pole iliyokatwa na wajukuu wa mzee Lukosi Sarah na Maria. Keki hiyo ilitengenezwa na Mnyakyusa Mrs Luhanga. The Big Family ndio waliotukatia tiketi za ndege mimi na dada yangu kwenda msibani.
Asanteni kwa kuja na Mungu awabariki
CHRIS LUKOSI
Keki ya pole
Wajukuu wa mzee Lukosi Sarah na Maria wakikata keki ya pole
Mfiwa Chris Lukosi amehemewa kwa upendo wa The Big Family UK
The Big Family wakiwa nyumbani kwa Chris Lukosi
Mrs Luhanga akimhakbidhi Chris Lukosi na dada yake keki ya pole.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...