Mrembo shabiki namba  moja  wa Lipuli Fc kikosi cha AMSHA POPO akishangilia ushindi wa Lipuli FC dhidi ya Polisi Dar kwa  kuzunguka Uwanja wa Samora mjini Iringa  na gari lililotengenezwa  kienyeji maalum kwa  ajili ya kushangilia ushindi wa Lipuli Fc

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...