Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Dkt.  Leonard Chamliho (kushoto)  akiangalia moja ya chapisho la vitabu  wakati  alipotembelea  banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) jijini Mwanza jana, kwenye  maonyesho ya kongamano la Mazingira la  watafiti za kisayansi na mazingira  zilizofanywa kwenye bonde la ziwa Victoria (Environmental Research and Science), Kulia ni Afisa Habari wa Mamlaka hiyo   Bestina Magutu.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi,u chukuzi na Mawasiliano Mhandisi Dkt.  Leonard Chamliho( wasita waliosimama kutoka kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa  Mamlaka ya Usafriri wa Anga Tanzania (TCAA)  mara baada ya kutembelea banda la TCAA kwenye  maonyesho ya kongamano la Mazingira la  watafiti za kisayansi na mazingira  zilizofanywa kwenye bonde la ziwa Victoria (Environmental Research and Science),yaliyofanyika mwanza jana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...